Habari RFI-Ki
Burundi yawataka wafanyakazi wa serikali kuhalalisha ndoa zao
Imechapishwa:
Cheza - 10:08
Makala hii imeangazia hatua ya serikali ya Burundi kuwataka wafanyikazi wa umma wanaoishi kwenye maisha ya kimapenzi bila kufunga ama kuhalalisha ndoa, kusimamishwa kazi hadi pale watakapohakikisha ndoa zao zinahalalishwa.Hatua hii imezua mjadala mkubwa nchini humo.