Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Umepokea chanjo ya corona nchini mwako

Imechapishwa:

Mataifa mengi barani Afrika, yanakabiliwa na wimbi la tatu la maambukizi ya Covid 19, huku Shirika la afya duniani WHO, likitaka utoaji wa chanjo kuendelea licha ya baadhi ya raia kuonekana kutoziamini.Unazungumzia vipi hali hii ? Nchi yako inatekeleza vipi mpango wa utoaji chanjo ?

Mhudumu wa afya akipokea chanjo ya Covid 19 katika Hospitali nchini Sudan
Mhudumu wa afya akipokea chanjo ya Covid 19 katika Hospitali nchini Sudan © AFP - Phill Magakoe
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.