Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Chanjo za kupambana na Covid 19 zapendekezwa kutumiwa nchini Tanzania

Imechapishwa:

Kamati maalumu ya Covid 19 nchini Tanzania, imependekeza kwa Serikali ya nchi hiyo kujiunga katika mpango wa dunia wa usambazaji chanjo, Covax, pamoja na kutangaza tahadhari kama mataifa mengine ya ukanda wa Afrika Mashariki, ikiwemo kuchapisha takwimu, kufanya vipimo na kuruhusu chanjo.

Chanjo aina ya  AstraZeneca
Chanjo aina ya AstraZeneca LENNART PREISS AFP/File
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.