Mwishoni mwa juma lililopita mahakama nchini DRC imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu 29 waliodaiwa kuhusika katika vurugu za ibada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa ramadhani, ambapo polisi mmoja aliuawa na watu wengine kadhaa kujeruhiwa.Ni hukumu iliyoibua maswali na hisia mseto nchini humo.Wewe una mtazamo gani kuhusu hukumu hii? haya hapa baadhi ya maoni yako.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13