Taifa la Tanzania limeendelea kuongoza kwa mwaka pili sasa kuwa la kwanza Afrika mashariki kwa matumizi ya chini sana ya internet, ikichukuwa nafasi ya Somalia ambayo kwa sasa ni ya 3. Haya ni kwa mjibu wa takwimu iliyotolewa hivi karibuni na kampuni ya utafiti ya teknolojia ya Uingereza.Kwenye makala haya msikilizaji anatoa maoni kuhusu gharama ya mtandao katika taifa lake.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13