Habari RFI-Ki
Maoni ya msikilizaji kuhusu muda wa matumizi wa chanjo ya Covid 19
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Mataifa kadhaa ya Afrika yameharibu chanjo vya covid 19 kutokana na muda wake wa matumizi kupitwa na wakati, hivi punde DRC, ikitajiwa kupeana baadhi ya chanjo yake, ili kuzuia chanjo hiyo kuharibika.Katika makala haya wasikilizaji wanatoa maoni yao kuhusiana na chanjo hiyo ya corona kuharibika kwa kipindi kifupi.