Habari RFI-Ki
Msikilizaji ana maoni gani kuhusu mimba za mapema kwa wasichana wadogo
Imechapishwa:
Cheza - 10:06
Baadhi ya mataifa barani Afrika yamerekodi ongezeko la wasichana wadogo waliopata mimba za mapema katika kipindi hiki cha janga la corona.Maelfu ya wasichana hao sasa wameshindwa kurejea shuleni. Unadhani nini kimechangia hali kuwa mbaya zaidi? Jamii ina jukumu gani wakati kama huu? haya hapa baadhi ya maoni yenu