Habari RFI-Ki
Uganda na Tanzania zatiliana saini kujenga bomba la mafuta
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Mataifa ya Tanzania na Uganda,yametiliana saini mkataba wa ujenzi wa bomba la usafirishaji wa mafuta ghafi.Nini maoni yako kuhusu hatua hii ? Na unadhani ujenzi huo utatengeza ajira ? Au utumike vipi kuleta nafasi za Kazi kwa wanaichi wa mataifa hayo ?