Habari RFI-Ki
Serikali mpya yatangazwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Waziri Mkuu wa DRC, ametangaza baraza jipya la mawaziri Jean-Michel Sama Lukonde Kyenge, alilosema litakuwa na jukumu la kuhakikisha usalama Mashariki mwa Congo, pamoja na kupambana na vitendo vya rushwa.Je una imani na serikali hii mpya ?