Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Wakenya walalamikia hatua ya serikali yao kuomba mkopo

Imechapishwa:

Baadhi ya raia wa Kenya,wameamua kutumia mitandao ya kijamii kuonesha gadhabu zao dhidi ya serikali kutokana na hatua yake ya kuomba mkopo mwingine wa zaidi ya dola bilioni 2 kutoka shirika la fedha duniani IMF. Hatua ya Kenya imekuja wakati huu ikiripoti ongezeko kubwa la deni la taifa katika historia ya taifa hilo. Unazungumziaje hatua ya nchi ya Kenya? Mkopo huu utasaidia kunusuru hali mbaya ya raia kiuchumi?

Shirika la fedha duniani IMF
Shirika la fedha duniani IMF REUTERS/Yuri Gripas/File Photo
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.