Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mskilizaji ana maoni gani kuhusu wanadoa kukosa kutoa haki ya ndoa?

Imechapishwa:

Kule ufaransa mwanamke mwenye umri wa miaka 66 ameshtakiwa katika mahakama moja kwa kukosa kumtimizia mumewake tendo la ndoa...Wakili wake ameeleza kuwa mahakama haina haki kutoa uamuzi kama huo kwa kuwa tendo la ndoa sio la kulazimishwa.vile vile mahakama imesema kuwa bora alikua kwenye ndoa na mume wake basi tendo la ndoa ni lazima.wewe una maoni gani kuhusu tukio hilo?

Picha ya mwanandoa akimvisha mwenzie pete.
Picha ya mwanandoa akimvisha mwenzie pete. POOL/AFP/File
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.