Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Hatua ya serikali ya Burundi kuwaadhibu maafisa wake

Imechapishwa:

Leo tunaangazia juu ya hatua ya serikali ya Burundi kusimamisha baadhi ya viongozi na maafisa waandamizi wa serikali iliyoko madarakani wengi wao wakiwa watumishi wa ikulu.  Serikali ya Burundi ilifahamisha kwamba waliosimamishwa kazi akiwemo aliyewahi kuwa msemaji wa serikali Willy Nyamitwe na wengine, wamesimamishwa kupisha uchunguzi kwa tuhuma za kuchelewa kazini.

Rais wa Burundi  Evariste Ndayishimiye
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye AFP - TCHANDROU NITANGA
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.