Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Namna vijana nchini Tanzania wanavyojipatia kipato kupitia ujasiriliamali

Imechapishwa:

Leo tunaangazia juu ya fursa na ajira kwa vijana nchini Tanzania. Utawasikia vijana wa huko wilayani Rorya mkoani Mara kaskazini-magharibi mwa Tanzania jirani kabisa na mpaka wa Kenya. Kama utakavosikia kwenye mazungumzo yetu, vijana hao wanabainisha ni jinsi gani wameamua kubuni jinsi ya kujipatia kipato kwa njia ya burudani. 

Vijana wa Tanzani wakiwa katika tamasha la muziki, jijini Dar es salaam
Vijana wa Tanzani wakiwa katika tamasha la muziki, jijini Dar es salaam STRINGER AFP/File
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.