Afrika Ya Mashariki
Watalaamu kutoka mataifa ya Afrika Mashariki wahimizwa kusalia katika nchi zao
Imechapishwa:
Cheza - 09:26
Katika makala ya juma hili ya Afrika Mashariki, mawanahabari wetu Juliani Rubavu anaangazia hutua ya mataifa ya Afrika mashariki kuwashauri wataalamu wao kutoondoka katika mataifa hayo kutafuta kipato katika mataifa mengine kwa lengo la kuchangia kuimarika kwa uchumi katika mataifa yao.