Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Watalaamu kutoka mataifa ya Afrika Mashariki wahimizwa kusalia katika nchi zao

Imechapishwa:

Katika makala ya juma hili ya Afrika Mashariki, mawanahabari wetu Juliani Rubavu anaangazia hutua ya mataifa ya Afrika mashariki kuwashauri wataalamu wao kutoondoka katika mataifa hayo kutafuta kipato katika mataifa mengine kwa lengo la kuchangia kuimarika kwa uchumi katika mataifa yao.

Bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC.
Bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, EAC. fr.wikipedia.org
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.