Habari RFI-Ki
Waasi wa M23 Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wapinga hatua ya Umoja wa Mataifa UN kupeleka Kikosi Maalum Mashariki mwa Taifa hilo
Imechapishwa:
Cheza - 09:56
Kundi kubwa la Waasi linalopatikana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC M23 limejitokeza na kupinga kwa nguvu zake hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kupitisha azimio la kupeleka Jeshi Maalum litakalopambana na Makundi ya Waasi yanayopatikana katika eneo hilo na si kulinda amani pekee kama ilivyokuwa imezoeleka.