Habari RFI-Ki
Wananchi wa Gambia kufanyakazi kwa siku nne pekee na zilizosalia zitatumika kwa ajili ya Ibada na kwa shughuli za kilimo
Imechapishwa:
Cheza - 11:08
Rais wa Gambia Yahya Jammeh ametangaza nchi hiyo kuwa na siku tatu za mapumziko huku wananchi wakiruhusiwa kufanya kazi kwa siku nne pekee!! hatua ya Rais Jammeh inatokana na kutaka kutoa nafasi kwa wananchi wake kutumia siku hizo kufanya ibada na kuendeleza shuguli zao za kilimo na zile za kijamii!!