Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Juhudi za kuwakomboa Wafanyakazi wa kigeni waliotekwa nchini Algeria zaendelea huku Operesheni ya Jeshi la Ufaransa nchini Mali yachanja mbuga

Imechapishwa:

Utekaji wa Wafanyakazi wa Kigeni wanaofanyakazi katika Kiwanda cha Gesi nchini Algeria umeendelea kuzua maswali mengi huku juhudi mbalimbali zikifanywa kwa lengo la kuwakomboa kutoka kwenye makucha ya Wanamgambo wa Kiislam, Jeshi la Ufaransa limeendelea kuongeza idadi ya wajeshi wake nchini Mali kuendelea na mchakato wa kuyasambaratisha Makundi ya Kiislam wenye Msimamo Mkali wanaoshikilia eneo la Kaskazini, Serikali ya DRC yakataa pendekezo la Kundi la Waasi la M23 la kutaka iundwe serikali ya mpito kama njia moja wapo ya kupata suluhu kwenye eneo la Mashariki na Wananchi wa Kenya wamejitokeza kwa wingi kushiriki kwenye zoezi la kupiga kura kuchagua wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi March mwaka huu!!

Picha ya Kiwanda cha Gesi nchini Algeria kinachopatikana katika eneo la Amenas ambapo Wafanyakazi wa Kigeni wametekanyara na Wanamgambo wa Kiislam
Picha ya Kiwanda cha Gesi nchini Algeria kinachopatikana katika eneo la Amenas ambapo Wafanyakazi wa Kigeni wametekanyara na Wanamgambo wa Kiislam Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.