Baada ya matokeo ya marudio ya uchaguzi wa raisi kutangazwa nchini kenya na kushuhudia Uhuru Kenyata akishinda mashirika ya kiraia yakosoa zoezi la uchaguzi na kutoa wito wa kuundwa kwa serikali ya mpito kwa walau mwaka mmoja au miwili ili kuruhusu kuandaliwa upya uchaguzi nchini humo.Upinzani umetangaza kutombua ushindi wa kenyatta na kuendelea na maandamano na mgomo wa kiuchumi..
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13