Mjadala wa Wiki
Ziara ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 16:28
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekuwa ziarani barani Afrika. Amezuru Kenya, Uganda, Rwanda na atakuwa Ethiopia siku ya Alhamisi.Katika ziara hii, anajadiliana kuhusu maswala ya usalama na biashara.