Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Ziara ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu barani Afrika

Imechapishwa:

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekuwa ziarani barani Afrika. Amezuru Kenya, Uganda, Rwanda na atakuwa Ethiopia siku ya Alhamisi.Katika ziara hii, anajadiliana kuhusu maswala ya usalama na biashara.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Julai 5 2016
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Julai 5 2016 SIMON MAINA / AFP
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.