Wimbi la Siasa
Mchakato wa katiba mpya nchini Tanzania waahirishwa kupisha uchaguzi 2015
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Wanasiasa wa vyama vya siasa vya upinzani nchini Tanzania wameridhia kuahirishwa kwa mchakato wa Katiba mpya ili kupisha uchaguzi wa mwaka 2015. Nini hatima ya siasa za Tanzania?