Habari RFI-Ki
Rais Kikwete amaliza muhula wake wa kuhudumu katika Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC
Imechapishwa:
Cheza - 09:35
Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete amemaliza muhula wake wa kuhudumiu kama mwenyekti wa baraza la Usalama na Amani kwenye Jumuiya ta Kicuhumi ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC. Nini Maoni yako?