Habari RFI-Ki
Milipuko ya maghala ya silaha kwenye nchi za Afrika na udhibiti wa majanga kama hayo
Imechapishwa:
Cheza - 09:58
Mtangazaji wa habari rafiki hii leo ameangazia milipuko ya silaha iliyotokea kule Congo Brazaville ambako zaidi ya watu mia moja na hamsini walipoteza maisha, mtangazaji anaangalia ni kwanini matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara na kukosa udhibiti wa kutosha kuzua madhara zaidi kwa wananchi.