Uganda: Rais Museveni amethibitisha kupona Korona
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema amepona baada ya kuambukizwa Uviko 19 mapema mwezi huu.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Siku kumi na moja baada ya kiongozi huyo kuambukizwa virusi hivyo, rais Museveni amethibitisha kupona kwake kupitia ujumbe wake kwenye ukurasa wa twitter.
Fellow Ugandans, especially the Bazukulu.
— Yoweri K Museveni (@KagutaMuseveni) June 18, 2023
Sorry about losing our People such as Justice Arach (it is now really arach) Amoko, Jack Muchunguzi (one of the 27 with whom I attacked Kabaamba), Nuwe-agaba who was working in our CBRN Department of State House and others. Condolences… pic.twitter.com/S7vK8ZZlhS
Rais aliweka wazi kwa umma tarehe saba ya mwezi huu kwamba alikuwa ameambukizwa Uviko 19.
Your prayers👇: President @KagutaMuseveni and the First Lady @JanetMuseveni leaving Nakasero State Lodge to Entebbe State House for today's cabinet meeting. pic.twitter.com/h6JJRkc1ns
— State House Uganda (@StateHouseUg) June 19, 2023
Ametoa wito kwa raia wa taifa hilo la Afrika Mashariki kufuata miendo yake ikiwemo kuepukana na uvutaji wa sigara, kufanya mazoezi pamoja kula vyakula vya kiafrika.
Japokuwa shirika la afya duniani WHO limethibitsiha kuwa Uviko 19 sio janga tena, maambukizi hayo bado ni tishio kwa ulimwengu.