RWANDA - AFYA
Rwanda yatangaza masharti mapya ya kudhibiti Covid - 19
Serikali ya Rwanda imetangaza mikakati mipya ya kupambana na Covid 19, Shule zote zimefungwa na wafanyakazi wote wakitakiwa kufanya kufanya kazi wakiwa Nyumbani.
Imechapishwa:
Dakika 2
Matangazo ya kibiashara
Mwandishi wetu wa Kigali Christopher Karenzi, ana maelezo zaidi katika ripoti yake .
Christopher Karenzi