Pata taarifa kuu
MAREKANI-NASA-ROKETI-SAYANSI

Shirika la NASA larusha roketi angani kulifikia jua

Shirika la anga la Marekani Nasa, limerusha angani roketi kubwa inayofahamika kama Delta-IV, lengo likiwa ni kufika karibu na jua.

Roketi ikirushwa kufika juani nchini Marekani Agosti 12 2018
Roketi ikirushwa kufika juani nchini Marekani Agosti 12 2018 REUTERS/Mike Brown
Matangazo ya kibiashara

Roketi hiyo inayofahamika kama Parker Solar Probe imerushwa angani kutokea katika jimbo la Florida.

Wanasayansi wanasema ni roketi yenye kasi kubwa kuwahi kutenegzwa katika historia ya binadamu.

Operesheni hii inalenga kufamu taarifa zisizofahamika kuhusu jua na limeigharibu serikali ya Marekani Dola Bilioni 1.5.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.