Magonjwa ya saratani ya moyo na kiharusi ni miongoni mwa magonjwa ambayo yanaua watu wengi ulimwenguni, huku chanzo kikubwa kikitajwa kwamba majonjwa haya yanatokana na lishe, basi katika makala haya ' Siha Njema”, tunajadili ni jinsi gani usindikaji wa vyakula kwa jina la kemikali kunavyo changia kuenea kwa magonjwa hayo.Ungana na Ebby Shabani Abdallah..............
Vipindi vingine
-
Ajali za barabara Afrika huchangiwa na utepetevu, kasi na msongo wa mawazo
Ajali za barabara huchangia vifo vingi vya watu walio katika umri kati ya miaka mitano hadi 29 kwa mujibu wa WHO23/04/202410:25 -
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani17/04/202410:09 -
Uhitaji wa huduma za dharura za afya washika kasi ukanda wa Afrika
Shirika la AMREF Flying doctors linaonya kuwa mlipuko wa magonjwa yasiyoambukizwa yanazidi kuongeza uhitaji huku wigo la kupanua biashara likitanuka pia10/04/202409:55 -
Wanawake waongoza juhudi za kampeni za Afya bora ,DRC ikizidisha mapambano ya Kipindu Pindu
Wawawake kutoka ukanda wa Afrika wanajumuika Dar Es Salaam mwishoni mwa juma kupiga jeki kampeni za kuboresha afya02/04/202409:59 -
Mataifa ya Afrika yanayoendelea bado yanachangia mzigo mkubwa wa TB
Usalama mdogo nchini Sudan Kusini umesababisha wagonjwa wengi kuchelewa kubainishwa TB na kupata matibabu ya mapema29/03/202410:23