Pata taarifa kuu

Ghuba ya Guinea: Meli ya mafuta ya Denmark yashambuliwa na maharamia karibu na Pointe-Noire

Meli ya mafuta ya Denmark iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Liberia imeshambuliwa na maharamia karibu na Congo-Brazzaville, katika Ghuba ya Guinea, na mawasiliano yamepotea kwa siku tatu na wafanyakazi wa wanamaji 16, mmiliki wake ametangaza Jumanne Machi 28. 

Bandari inayojiendesha ya Pointe-Noire, nchini Kongo-Brazzaville.
Bandari inayojiendesha ya Pointe-Noire, nchini Kongo-Brazzaville. © Getty Images/Fabian Plock/EyeEm
Matangazo ya kibiashara

Wakati wa shambulio hili, ambalo lilifanyika Jumamosi jioni maili 140 za baharini magharibi mwa bandari ya Pointe-Noire, maharamia waliweza kupanda katika meli hii ya Monjasa, na "wafanyakazi wote walifika salama", Amesema mmiliki wa meli Monjasa. 

Hakuna mawasiliano yaliyofanyika na mabaharia tangu wakati huo, "na tunafanya kazi na mamlaka kuanzisha mawasiliano na kuelewa hali ya mambo", imebaini kampuni hiyo.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.