UGANDA-CORONA
Uganda imeidhinisha matumizi ya Covidex dawa ya kienyeji
Uganda imeidhinisha matumizi ya Covidex dawa ya kienyeji, kusaidia kutoa tiba kwa watu walioambukizwa virusi vya Covid 19 nchini humo.
Imechapishwa:
Dakika 1
Matangazo ya kibiashara
Hata hivyo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya kuidhiniza dawa nchini humo David Nahamya, amesema dawa hiyo sio tiba, bali inatumiwa na dawa nyingine zinazopewa wagonjwa wa virusi hivyo.
OUGANDA _Son Uganda: Approves use of herbal medicine to treat viral infections-Sound, David Nahamya National Drug Authority
Uganda kwa sasa inakabiliwa na wimbi la pili la maambukizi ya Covid 19.