UN: Viwango vya utapiamlo kwa watoto vyaongezeka CAR
Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yameonya juu ya machafuko na ukosefu wa usalama vinazokwamisha shughuli zao nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
Imechapishwa:
Shirika·la·Umoja·wa·Mataifa·la·kuhudumia·watoto·UNICEF·na·Shirika·la·mpango·wa·chakula·duniani·WFP·wanasema·wana·wasiwasi·juu·ya·watoto·walio·katika·hatari·ya·kupata·ugonjwa·wa·utapiamlo·sugu.¶
Angalau·watoto·24,000·walio·na·umri·wa·chini·ya·miaka·mitano·kwa·sasa·wako·katika·hatari·ya·kupata·ugonjwa·wa·utapiamlo·sugu·nchini·Jamhuri·ya·Afrika·ya·Kati,·kulingana·na·UNICEF·na·shirila·la·Mpango·wa·Chakula·duniani·(WFP).·¶
Mashirika·haya·mawili·ya·Umoja·wa·Mataifa·kwa·miaka·mingi·yanaendesha·shughuli·zao·katika·nchi·hii·inayochukuliwa·kama·moja·ya·nchi·maskini·zaidi·duniani.·Sio·mara·ya·kwanza·kukabiliwa·na·aina·hii·ya·matatizo,·lakini·mwaka·huu·visa·vya·utapiamlo·vimeongezeka·kwa·25%·ikilinganishwa·na·mwaka·2020.·Sababu·ni·janga·la·Covid-19,·lakini·pia·vurugu·ambazo·uingiliaji·wa·haraka·ili·kuepuka·hali·mbaya·zaidi·umekuwa·ukichelewa.¶
"Bila·kupata·huduma·ya·haraka·wanayohitaji,·watoto·wenye·utapiamlo·wako·katika·hatari·ya·kifo"·,·Fran·Equiza,·mwakilishi·wa·UNICEF·nchini·Jamhuri·ya·Afrika·ya·Kati·amesema.¶