Viongozi wa umoja wa Afrika wamekubaliana kuunda bodi maalum itakayowasaidia kushughulikia masuala ya uhamiaji ikiwemo kutathimini sera za uhamiaji katika mataifa ya Afrika.Hatua hii imekuja wakati huu waafrika wengi wakienmdelea kukimbilia barani ulaya huku wengi wakizama katika bahari ya mediterania....Je bodi hii itasaidia ufumbuzi wa matatizo yanayosababisha ongezeko wa waafrika wakimbiliao Ulaya?
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13