Baada ya Umoja wa Mataifa kuitaka serikali ya DRCongo kuheshimu haki ya raia kuandamana kama inavyoagizwa na katiba ya nchi hiyo, serikali kupitia waziri wake wa habari ambae pia ni msemaji wa serikali Lambert Mende amesema serikali inaheshimu haki ya raia kuandamana.Hii inakuja wakati huu vyombo vya Usalama nchini humo vikiwatia nguvuni watu zaidi ya 120 waliojaribu kuandamana katika miji kadhaa ya nchi hiyo, ambapo umoja wa Mataifa unasema wengi wa waliokamatwa waliachiwa huru ispokuwa watano kutoka mashirika ya kiraia mjini Lubumbashi.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13