Mwenyekiti wa tume huru ya Uchaguzi nchini DRC Corneille Nangaa amesema tume yake iko tayari kuandaa uchaguzi katika mwaka 2017 ikiwa itawezeshwa.Akizungumzia uwezekano huo kwenye ofisi kuu ya Seneti, Nangaa amesema tume ya uchaguzi ina uwezo wa kuandaa uchaguzi katika hali ya utulivu, na kwamba Julai 31 mwaka ujao watakuwa wamemaliza kuwaandika wapiga kura, hivyo kuna uwezekano wa kuitisha uchaguzi Oktoba 30, 2017.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13