Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Viongozi wa kanda ya maziwa makuu wataka vikosi zaidi DRC

Imechapishwa:

Makala ya yaliyojiri juma hili imeangazia hatua ya marais wa nchi za maziwa makuu na SADC kuomba wanajeshi zaidi wa umoja wa mataifa wapelekwe nchini DRC, ziara ya waziri mkuu wa Ufaransa katika mataifa ya Afrika magharibi lakini pia, Gambia kujiondoa wanachama wake kwenye mahakama ya ICC, nchini Tanzania na kwingineko duniani, haswa kampeini ya uchaguzi mkuu nchini Marekani inavyoendelea.

Wakuu wa nchi za maziwa mkuu, walipokutana mjini Angola, kuanzia Jumanne, 14 June 2016
Wakuu wa nchi za maziwa mkuu, walipokutana mjini Angola, kuanzia Jumanne, 14 June 2016 Kenya Govt
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.