Leo ni siku ya vijana duniani.Ni siku ya kutafakari juu ya changamoto na mafanikio ya vijana. Kauli mbiu ya mwaka huu kwa mujibu wa umoja wa mataifa ni mchango wa vijana kufanikisha malengo endelevu kufikia mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kutokomeza umasikini.Je, wewe ni kijana ? Unazungumzia vipi siku hii ? Ina manufaa kwako ? Nchini mwako, vijana wana mchango gani na wewe kama kijana unaona una mchango gani kwa nchi yako.Ungana na mwandishi wetu Edmond Lwangi Tcheli kusikiliza zaidi.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13