Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Raia wa DRC Kuomboleza kifo cha Malu Malu
Imechapishwa:
Cheza - 21:08
Ziara ya siku mbili ya rais Paul Kagame wa Rwanda nchini Tanzania, maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 56 ya uhuru wa DRC pamoja na kanisa katoliki nchini humo kutangaza kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi CENI Padre Apolinaire Malumalu alhamisi juni 30 na pia mashambulizi ya kigaidi Mjini Istanbul nchini Uturuki ni miongoni mwa mengi utakayoyasikia katika makala: Mtazamo wako kwa yaliyojiri Wiki hii.