Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Msichana wa Chibok apatikana Nigeria

Imechapishwa:

Msichana mmoja wa Chibok Nigeria aliyetekwa na kundi la Boko haram sambamba na wengine mia mbili amepatikana katika msitu wa Sambisa akiwa na mtoto mchanga ambaye amezaa na mpiganaji wa kundi hilo,hatua hii imeamsha matumaini ya kupatikana wasichana wengine wanaoshikiliwa.

Amina Ali Darsha Nkeki amepatikana akiwa na mtoto mchanga
Amina Ali Darsha Nkeki amepatikana akiwa na mtoto mchanga REUTERS/Afolabi Sotunde
Matangazo ya kibiashara

Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.