Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa DRC lakini pia Kesi ya Raisi wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy.

Imechapishwa:

Ni mengi tu yaliyojitokeza Barani Afrika wiki hii, Mataifa kama jamhuri ya kidemokrasia ya congo DRC, Rwanda, na Burundi kusherehekea maadhimisho ya uhuru wa nchi zao hizo!Umoja wa mataifa kulalamikia hali duni ya watoto nchini Sudan, Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy kuhojiwa kutokana na tuhuma za kufanya ushawishi kuhusu kesi inayochunguzwa ya matumizi mabaya ya fedha katika uchaguzi uliopita.Lakini pia Hatua ya raisi Petro Poronshenko wa Ukraine kujiapiza kuendelea na makabiliano dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na urusi; ni baadhi ya yale yaliyopewa uzito katika habari zetu juma hili;Karibu Kuungana nami Reuben Lukumbuka.

Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa MONUSCO Ould Mohamed El Hacen Uvira, akiwa Mutarule, Kivu Kusini
Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa MONUSCO Ould Mohamed El Hacen Uvira, akiwa Mutarule, Kivu Kusini MONUSCO / Laurent Sam Oussou
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.