Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Waasi wa M23 waanza kukimbia kikundi hicho

Imechapishwa:

Kundi la waasi la M23 limeanza kukimbiwa na viongozi wake hali inayoashiria kuanza kudhoofika huku Umoja wa Mataifa ukijipanga kupeleka kikosi cha kimataifa kitakachojumuisha wanajeshi kutoka Tanzania, Malawi na Afrika Kusini. Je ni kwa nini waasi hao waanze kukimbia kikundi cha M23? Ungana na Edmond Lwangi katika makala haya ya Habari Rafiki..............

RFI
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.