Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mgomo mkubwa wa wafanyakazi nchini Nigeria waendelea kupinga nyongeza ya ruzuku katika mafuta iliyotangazwa na serikali
Imechapishwa:
Cheza - 19:37
Mtangazaji wa makala ya mtazamo wako kwa yaliyojiri wiki hii, leo amekuandalia mengi lakini bado kubwa kwa juma la pili mfululizo ni mgomo wa wafanyakazi nchini Nigeria wakishinikiza serikali kubadili uamuzi wake wakuongeza ruzuku kwenye nishati ya mafuta.