Habari RFI-Ki
Ufaransa na Umoja wa Ulaya utaweza kukomesha mauaji mashariki mwa DRC?
Imechapishwa:
Cheza - 09:55
Daktari Dennis Mukwege ametoa wito kwa Ufaransa na umoja wa Ulaya kuingilia kijeshi nchini DRC ili kupambana na magaidi wa ADF wanaoendesha mauajio ya raia wilayani Beni na mashariki mwa nchi hiyo. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao.