Umoja wa Afrika umezindua Pasi ya kusafiria ya bara Afrika, kuwawezesha Waafrika kusafiri na kufanya biashara katika mataifa yote 54 bila ya vikwazo, kuelekea kutimiza Ajenda ya mwaka 2063 ya kuliunganisha bara la Afrika kisiasa.Uzinduzi huu ulifanyika jijini Kigali nchini Rwanda katika mkutano wa viongozi wa Afrika, na watu wa kwanza kupata pasi hiyo ni rais wa Rwanda Paul Kagame na Mwenyekiti wa Umoja huo Idriss Derby ambaye pia ni rais wa Chad.AU imetoa hadi mwaka 2018 kuanza kutolewa kwa Pasi hiyo kwa waafrika wengine.
Vipindi vingine
-
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.25/04/202409:51 -
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.23/04/202409:52 -
09:41
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57