Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Misambano;Wanamuziki wa sasa wanachangia Taarabu Kudorora

Imechapishwa:

Sanaa ya Muziki wa taarab ilishamiri sana katika nchi za Afrika mashariki miaka ya 1990 ingawaje katika nchi ya Burundi inaelezwa kuwa Watanzania ndio waliowaibua wasanii wengi nchini humo.Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa, akizungumza na Abdul Misambano msanii wa Muziki wa Taarab akiwa ni Miongoni mwa wasanii walisaidia kuikuza sanaa hiyo katika nchi za Afrika Mashariki.

Mwanamuziki wa Taarabu Abdul Misambano akitoa burudani wakati huo akiwa na Bendi ya TOT
Mwanamuziki wa Taarabu Abdul Misambano akitoa burudani wakati huo akiwa na Bendi ya TOT Misambano/Picha
Vipindi vingine
  • 20:07
  • 20:10
  • 09:59
  • 20:05
  • 20:02
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.