Changu Chako, Chako Changu
Historia ya Tamasha la Amani lonalofanyika kila mwaka mjini Goma
Imechapishwa:
Cheza - 20:13
Makala haya ya Changu chako chako changu, uma hili, mtangazaji wako Ali Bilali anakupeleka mjini Goma, mashariki mwa DRCongo kukueleza zaidi kuhusu tamasha la Amani ambalo hufanyika kila mwaka katika eneo hilo na ambalo hujumuisha wanamuziki kutoka katika maeneo mbalimbali ya dunia.