Muziki Ijumaa
Foby mwanamuziki, mtunzi anaetusua na wimbo wake Ng'ang'ana
Imechapishwa:
Cheza - 11:55
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Foby aridhishwa na mapokezi ya wimbo wake mpya Ng'ang'ana unaofanya vizuri kwa sasa. Wiki hii amekuwa mgeni katika makala ya Muziki Ijumaa na Ali Bilali.