Muziki Ijumaa
Genevieve Miss Tanzania 2010 anaekuja kwa kasi katika tasnia ya Muziki party 2
Imechapishwa:
Cheza - 13:01
Sehem ya pili na ya mwisho ya mahojiano ya Genevieve mlimbwende aliejikita katika Muziki na ambae anafanya vizuri katika tasnia hiyo. Skiliza Makala haya na kama unalolote la kumshauri au kumuelekeza usisite kufanya hivyo kwa kutuandikia unaweza pia kutufollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali