Habari RFI-Ki
Siku ya Kimataifa ya kupiga vita ukatili dhidi ya wanawake na wasichana
Imechapishwa:
Cheza - 10:30
Leo ni siku ya Kimataifa ya kupiga vita ukatili dhidi ya wanawake na wasichana.Umoja wa Mataifa unatumia siki hii kuomba wafadhili kusaidia kupata hela ili kufanikisha vita hivi.Utafiti unaonesha kuwa mwanamke mmoja kati ya watatu wamepitia ukatili katika kipindi chote cha maisha yake.