Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Siku ya Kimataifa ya kupiga vita ukatili dhidi ya wanawake na wasichana

Imechapishwa:

Leo ni siku ya Kimataifa ya kupiga vita ukatili dhidi ya wanawake na wasichana.Umoja wa Mataifa unatumia siki hii kuomba wafadhili kusaidia kupata hela ili kufanikisha vita hivi.Utafiti unaonesha kuwa mwanamke mmoja kati ya watatu wamepitia ukatili katika kipindi chote cha maisha yake.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon (Kushoto) akiwa na mmoja wa viongozi wanawake katika siku ya Kimataifa ya kupiga vita ukatili dhidi ya wanawake
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon (Kushoto) akiwa na mmoja wa viongozi wanawake katika siku ya Kimataifa ya kupiga vita ukatili dhidi ya wanawake static.un.org
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.