Mwanamuziki Kebby Boy kutoka nchini Burundi ametembelea Studio za RFI Kiswahili jijini Dar Es Salaam nchini Tanzania ambapo amezungumzia safari ya muziki wake wapi imefikia na mpango wake wa sasa wa kuendelea kujitangaza zaidi kikanda na kimataifa huku akiahidi mambo makubwa hapo mbeleni. Yote hayo ni katika Makala ya Muziki Ijumaa na Ali Bilali. Unaweza pia kumfollow mtangazaji wako kwa Instagram @billy_bilali
Vipindi vingine
-
Burudani ya Muziki na Jupiter Mayaka
Muziki hutoa hamasisho, elimu, burudani, husaidia kukumbuka mambo na pia huondoa msongo na kuboresha afya.18/11/202310:00 -
10:09
-
BURUDANI YA MUZIKI IJUMAA
Wiki hii Florence Kiwuwa amekuchezea muziki uliomuomba akucheze kwenye redio15/09/202310:03 -
Burudani ya muziki Ijumma, tunacheza ombi lako la muziki
Katika Makala haya ya burudani huwa tunakupa nafasi wewe msikilizaji wetu kuchagua wimbo nasi tunakuchezea moja kwa moja kwenye redio kila siku ya Ijumma18/08/202309:59 -
10:00