Nyumba ya Sanaa
Tasnia ya filamu katika ulingo wa sanaa nchini DRC yachambuliwa na msanii Cyrille Ngondole
Imechapishwa:
Cheza - 19:57
Katika makala ya Nyumba ya sanaa juma hili, Mtayarishaji wetu ameangazia tasnia ya filamu Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo katika muktadha wa baada ya vita vya muda mrefu ambapo amehojiana na msanii wa filamu Cyrille Ngondole akiwa mjini Goma.