Nyumba ya Sanaa
Fahamu kuhusu vijana maarufu wa bendi ya Sauti sol kutoka Nairobi Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 19:21
Katika makala haya Willis Chimano na BienAime Baraza wa bendi ya Sauti Sol wanazungumza na mtayarishaji wa makala haya kuhusu changamoto na matarajio yao katika fani ya muziki, Fuatana na Edmond Lwangi Tcheli