Changu Chako, Chako Changu
Wasanii kutoka Mayotte ndani ya RFI Kiswahili
Imechapishwa:
Cheza - 21:07
Juma hili Makala Changu Chako Chako Changu, Ali Bilali amezungumza na wanamuziki kutoka katika visiwa vya Mayotte ambao wamefanya ziara nchini Tanzania kwa leng la kutangaza muziki wao.